Serikali imetoa zaidi ya Shilingi Bilioni 424.6 kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya Kitaifa, ikiwemo Ukarabati wa Uwanja wa Ndege Sumbawanga na ujenzi wa Barabara kwa kiwango cha lami, na kazi za matengenezo ya barabara pamoja na kazi za dharura zilizotekelezwa zikijumuisha miradi ya usanifu wa Barabara za TANROADS mkoa wa Rukwa.
				Friday 31 October 2025			
						
		⁞
 Sources
 Sources 
 
