Thursday 30 October 2025
Home      All news      Contact us      RSS      English
itv - 8 month ago

TANZANIA NI SALAMA KWA UWEKEZAJI, SERA ZA UWEKEZAJI NI RAFIKI

Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameweka jiwe la msingi la mradi wa ujenzi wa kituo cha gesi cha GBP mkoani Tanga, mradi unaogharimu dola milioni 50 NA KUELEZA KUWA mradi huo ni muhimu kwa maendeleo ya Tanga na Taifa kwa ujumla, kwani utaunga mkono ajenda ya nishati safi ya kupikia na pia kuchochea ukuaji wa viwanda mkoani Tanga.


Latest News
Hashtags:   

TANZANIA

 | 

SALAMA

 | 

UWEKEZAJI

 | 

UWEKEZAJI

 | 

RAFIKI

 | 

Sources