Friday 31 October 2025
Home      All news      Contact us      RSS      English
itv - 2 month ago

RAIS SAMIA AMEWASHA UMEME VIJIJI VYOTE ARUSHA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA), amewezesha kuwasha umeme vijiji vyote 368 sawa na asilimia 100 na sasa utekelezaji unaendelea kwa kasi ya kupeleka huduma ya umeme kwenye vitongoji vyote ambavyo havijafikiwa na huduma hiyo  jijini Arusha............


Latest News
Hashtags:   

SAMIA

 | 

AMEWASHA

 | 

UMEME

 | 

VIJIJI

 | 

VYOTE

 | 

ARUSHA

 | 

Sources