Thursday 30 October 2025
Home      All news      Contact us      RSS      English
itv - 8 month ago

URUSI YAONGEZA USHIRIKIANO WA KISAYANSI NA ELIMU NA TANZANIA

Urusi imesisitiza tena dhamira yake ya kuimarisha uhusiano wa kisayansi, utafiti na elimu na Tanzania katika sekta za mazingira na teknolojia, huku ujumbe wa wajumbe kumi kutoka Urusi ukiwa nchini kama sehemu ya Msafara wa Kisayansi na Kielimu wa Urusi na Tanzania.  


Latest News
Hashtags:   

URUSI

 | 

YAONGEZA

 | 

USHIRIKIANO

 | 

KISAYANSI

 | 

ELIMU

 | 

TANZANIA

 | 

Sources