Huduma ya M-Mama ni mojawapo ya miradi muhimu ya afya iliyoanzishwa na Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa lengo la kusaidia kina mama wajawazito na watoto wachanga kupata huduma bora za afya, ambapo Huduma hii inatumia teknolojia ya simu kuunganisha wajawazito na huduma za dharura za usafiri, kuhakikisha wanapata matibabu kwa haraka wanapohitaji msaada wa kiafya.
Thursday 30 October 2025
⁞
