Waziri Mkuu wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa, amesema kukamilika kwa Mradi wa Ujenzi wa Bwawa la Maji Kidunda, kutaongeza uhakika wa upatikanaji wa huduma ya majisafi na Salama kwa wakazi wa Mikoa ya Dar es Salaam, Pwani, na baadhi ya maeneo ya Mkoa wa Morogoro.
Thursday 30 October 2025
⁞
