Thursday 30 October 2025
Home      All news      Contact us      RSS      English
itv - 8 month ago

BWAWA LA MAJI KIDUNDA KUHUDUMIA DAR, PWANI NA MOROGORO

Waziri Mkuu wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa, amesema kukamilika kwa Mradi wa Ujenzi wa Bwawa la Maji Kidunda, kutaongeza uhakika wa upatikanaji wa huduma ya majisafi na Salama kwa wakazi wa Mikoa ya Dar es Salaam, Pwani, na baadhi ya maeneo ya Mkoa wa Morogoro.


Latest News
Hashtags:   

BWAWA

 | 

KIDUNDA

 | 

KUHUDUMIA

 | 

PWANI

 | 

MOROGORO

 | 

Sources