Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan ameendelea na kampeni zake za Uchaguzi Mkuu 2025 kwa kufanya mkutano mkubwa wa hadhara Wilayani Manyoni, Mkoa wa Singida, ambako ametaja utekelezaji wa miradi ya kimaendeleo na kuahidi kuimaliza ndani ya awamu yake ijayo.
				Friday 31 October 2025			
						
		⁞
 Sources
 Sources 
 
