Wananchi wa Mkoa wa Mara wamekumbushwa kuwa mikopo inayotolewa na Serikali haitolewi kwa maana ya zawadi bali inatolewa kwa kusudi la kumwinua mwananchi kwa suala la kipato na inatakiwa irudishwe ili wengine waweze kunufaika pia.
Thursday 30 October 2025
⁞
