Naibu Mwakilishi wa Kudumu Tanzania-Geneva, Balozi Hoyce Temu ambaye alikuwa kwenye Timu ya kampeni ambayo ilizunguka Mataifa mbalimbali kumuombea kura Prof. Janabi kwenye nafasi ya Mkurugenzi wa WHO- Africa,  amesema Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu ametoa mchango mkubwa uliowezesha ushindi wa Janabi.
				Friday 31 October 2025			
						
		⁞
 Sources
 Sources 
 
