Friday 31 October 2025
Home      All news      Contact us      RSS      English
itv - 5 month ago

RAIS SAMIA AMETOA MCHANGO USHINDI WA PROF.JANABI

Naibu Mwakilishi wa Kudumu Tanzania-Geneva, Balozi Hoyce Temu ambaye alikuwa kwenye Timu ya kampeni ambayo ilizunguka Mataifa mbalimbali kumuombea kura Prof. Janabi kwenye nafasi ya Mkurugenzi wa WHO- Africa,  amesema Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu ametoa mchango mkubwa uliowezesha ushindi wa Janabi.


Latest News
Hashtags:   

SAMIA

 | 

AMETOA

 | 

MCHANGO

 | 

USHINDI

 | 

JANABI

 | 

Sources