Naibu Mwakilishi wa Kudumu Tanzania-Geneva, Balozi Hoyce Temu ambaye alikuwa kwenye Timu ya kampeni ambayo ilizunguka Mataifa mbalimbali kumuombea kura Prof. Janabi kwenye nafasi ya Mkurugenzi wa WHO- Africa, amesema Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu ametoa mchango mkubwa uliowezesha ushindi wa Janabi.
Saturday 1 November 2025
⁞
