Friday 31 October 2025
Home      All news      Contact us      RSS      English
itv - 5 month ago

WAZALISHAJI WA CHANJO ZA MIFUGO KUUNGANA AFRIKA

Wasajili wa Chanjo na Wakurugenzi wanaosimamia uzalishaji wa chanjo za mifugo kutoka nchi 25 za ukanda wa Afrika, wamekutana nchini Tanzania kujadili namna ya kuwa na mfumo wa pamoja wa kutokomeza ugonjwa wa Sotoka ya Mbuzi na Kondoo. 


Latest News
Hashtags:   

WAZALISHAJI

 | 

CHANJO

 | 

MIFUGO

 | 

KUUNGANA

 | 

AFRIKA

 | 

Sources