Wasajili wa Chanjo na Wakurugenzi wanaosimamia uzalishaji wa chanjo za mifugo kutoka nchi 25 za ukanda wa Afrika, wamekutana nchini Tanzania kujadili namna ya kuwa na mfumo wa pamoja wa kutokomeza ugonjwa wa Sotoka ya Mbuzi na Kondoo. 
				Friday 31 October 2025			
						
		⁞
 Sources
 Sources 
 
