Thursday 30 October 2025
Home      All news      Contact us      RSS      English
itv - 8 month ago

SERIKALI YAWEKEZA BIL. 5 UJENZI WA JENGO LA TIBA MIONZI KCMC

Serikali kupitia Wizara ya Afya imewekeza Shilingi Bilioni Tano kwa ajili ya ujenzi wa jengo la kituo cha tiba mionzi pamoja na ununuzi wa vifaa tiba lililopo katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda Kaskazini (KCMC) ili kuboresha huduma hizo za afya na kuwafikia wananchi wengi wa ukanda huo. 


Latest News
Hashtags:   

SERIKALI

 | 

YAWEKEZA

 | 

UJENZI

 | 

JENGO

 | 

MIONZI

 | 

Sources