#HABARI: Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu , Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Ridhiwani Kikwete, amesema kuwa uwepo wa huduma za Kidijitali zinazotolewa na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF), kunawasaidia wananchi kupata huduma kwa haraha na wakati.
Thursday 30 October 2025
⁞
