Thursday 30 October 2025
Home      All news      Contact us      RSS      English
itv - 8 month ago

RAIS SAMIA AAGIZA MRADI WA MAJI MKINGA KUKAMILIKA KWA WAKATI.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemuagiza Waziri wa Maji Mhe.Jumaa Aweso kusimamia utekelezaji wa mradi wa maji wa Mkinga na kuhakikisha kuwa wananchi wanapata maji safi na salama haraka iwezekanavyo.


Latest News
Hashtags:   

SAMIA

 | 

AAGIZA

 | 

MRADI

 | 

MKINGA

 | 

KUKAMILIKA

 | 

WAKATI

 | 

Sources