Ilani mpya ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kipindi cha 2025–2030, imeelezwa kuwa dira ya maendeleo Jumuishi kwa Watanzania, ikilenga kuchochea uchumi wa kisasa, kuongeza ajira, kuboresha huduma za jamii na kuimarisha nafasi ya Tanzania kimataifa kupitia Diplomasia ya Uchumi.
Saturday 1 November 2025
⁞
