Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Batilda Buriani, amewaambia wakazi wa Tanga kuwa ndani ya Miezi mitano tangu kutanuliwa na kuboreshwa kwa Bandari ya Tanga kulikofanywa na serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan, Jumla ya takribani Shilingi bilioni 100 zimepatikana kama faida inayotokana na bandari hiyo na hivyo kusisimua na kukuza uchumi wa mkoa huo na kanda nzima ya Kaskazini mwa Tanzania.
Thursday 30 October 2025
⁞
