Thursday 30 October 2025
Home      All news      Contact us      RSS      English
itv - 8 month ago

BANDARI YA TANGA YAINGIZA BILIONI 100 NDANI YA MIEZI MITANO

Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Batilda Buriani, amewaambia wakazi wa Tanga kuwa ndani ya Miezi mitano tangu kutanuliwa na kuboreshwa kwa Bandari ya Tanga kulikofanywa na serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan, Jumla ya takribani Shilingi bilioni 100 zimepatikana kama faida inayotokana na bandari hiyo na hivyo kusisimua na kukuza uchumi wa mkoa huo na kanda nzima ya Kaskazini mwa Tanzania.


Latest News
Hashtags:   

BANDARI

 | 

TANGA

 | 

YAINGIZA

 | 

BILIONI

 | 

NDANI

 | 

MIEZI

 | 

MITANO

 | 

Sources