Thursday 30 October 2025
Home      All news      Contact us      RSS      English
itv - 8 month ago

RAIS SAMIA ATATUA CHANGAMOTO YA MAJI MKINGA

Waziri wa Maji, Jumaa Aweso, amesema Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imeonesha dhamira thabiti ya kutatua changamoto ya maji wilayani Mkinga kwa kuwekeza shilingi bilioni 35. 4 kwenye mradi mkubwa wa maji kutoka Mkinga na Horohoro.


Latest News
Hashtags:   

SAMIA

 | 

ATATUA

 | 

CHANGAMOTO

 | 

MKINGA

 | 

Sources