Waziri wa Maji, Jumaa Aweso, amesema Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imeonesha dhamira thabiti ya kutatua changamoto ya maji wilayani Mkinga kwa kuwekeza shilingi bilioni 35. 4 kwenye mradi mkubwa wa maji kutoka Mkinga na Horohoro.
Thursday 30 October 2025
⁞
