Thursday 30 October 2025
Home      All news      Contact us      RSS      English
itv - 8 month ago

NI DHAMIRA YA SERIKALI KUINUA SEKTA YA KILIMO

Rais wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa serikali imejipanga kuhakikisha wakulima wanalima kwa tija mwaka mzima kwa kuwekeza katika miradi mikubwa ya umwagiliaji, ikiwemo Bwawa la Mkomazi ambalo litakuwa na uwezo wa kuhifadhi zaidi ya lita bilioni 70 za maji kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji.


Latest News
Hashtags:   

DHAMIRA

 | 

SERIKALI

 | 

KUINUA

 | 

SEKTA

 | 

KILIMO

 | 

Sources