Friday 31 October 2025
Home      All news      Contact us      RSS      English
itv - 3 month ago

WAFUGAJI KUPATA SOKO LA UHAKIKA LA NGOZI

Wafugaji sasa wana uhakika wa soko la ngozi inayotokana na mifugo wanayofuga baada ya kukamilika kwa ujenzi wa kiwanda cha kuchakata ngozi ambacho ni sehemu ya kiwanda cha Kimataifa cha Bidhaa za Ngozi cha Kilimanjaro International Leather-KLIC) kinachoendeshwa kwa ubia kati ya Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) na Jeshi la Magereza.


Latest News
Hashtags:   

WAFUGAJI

 | 

KUPATA

 | 

UHAKIKA

 | 

NGOZI

 | 

Sources