Ujenzi wa Mradi wa Bwawa la kufua umeme kwa maji kupitia mto Malagarasi (MW49) umefikia hatua muhimu, kwa kuweza kuchepusha maji ya kwenye mto (kutengeneza njia ya maji) ili kuruhusu ujenzi wa Tuta kuu,litakalotumika katika kufua umeme.
				Friday 31 October 2025			
						
		⁞
