Wakuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai wa Mikoa na Vikosi kutoka Tanzania bara na Zanzibar, wametakiwa kutilia mkazo upelelezi wa makosa ya uhalifu wa kifedha kwa kutumia mbinu mpya ili kuifanya Tanzania kuendelea kuwa salama dhidi ya makosa hayo.
Thursday 30 October 2025
⁞
