Friday 31 October 2025
Home      All news      Contact us      RSS      English
itv - 5 month ago

VIFO 6,279 VYA WAJAWAZITO NA WATOTO VYAZUILIKA

 Zaidi ya akina mama na watoto 150,740 waliokuwa na dharura ya huduma ya uzazi wamepata huduma ya usafiri wa haraka kupitia mfumo wa rufaa ngazi ya jamii (m-mama) ambapo hadi kufikia mwezi Mei, 2025 umeweza kuzuia vifo na kuokoa maisha ya wajawazito na watoto wachanga wapatao elfu 6,279.


Latest News
Hashtags:   

WAJAWAZITO

 | 

WATOTO

 | 

VYAZUILIKA

 | 

Sources