Friday 31 October 2025
Home      All news      Contact us      RSS      English
itv - 5 month ago

LUOGA ATOA MAELEKEZO KWA TANESCO NA WAKANDARASI

Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu kutoka Wizara ya Nishati, Mhandisi Innocent Luoga, amefanya ziara ya kukagua utekelezaji wa miradi ya umeme ya Gridi Imara inayoendelea katika Jiji la Dar es Salaam, na kutoa maelekezo muhimu kwa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) pamoja na wakandarasi wanaotekeleza miradi hiyo.


Latest News
Hashtags:   

LUOGA

 | 

MAELEKEZO

 | 

TANESCO

 | 

WAKANDARASI

 | 

Sources