Mkuu wa Chuo cha Taaluma ya Polisi Dar es Salaam, Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Dkt. Lazaro Mambosasa, amewataka wanafunzi wa Kozi ya Uafisa na Mkaguzi Msaidizi wa Polisi kuzingatia kwa vitendo mbinu na maarifa wanayopewa katika kudhibiti vitendo vya kihalifu.
Thursday 30 October 2025
⁞
