Rais wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amezielekeza Wizara zinazohusika pamoja na Vyombo vya Ulinzi na Usalama kutoa ufafanuzi au kukanusha haraka matamko mbalimbali yenye nia ovu yanayotolewa na wanaharakati mbalimbali dhidi ya Tanzania.
				Friday 31 October 2025			
						
		⁞
