Saturday 1 November 2025
Home      All news      Contact us      RSS      English
itv - 4 month ago

SERIKALI YAJIPANGA KUIPATIA CHANJO MIFUGO NCHI NZIMA

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Dkt. Edwin Mhede, ameongoza zoezi la utambuzi na uchanjaji wa mifugo mkoani Njombe, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Kampeni ya Kitaifa ya Chanjo kwa Mifugo iliyoanzishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, alipokuwa mkoani Simiyu hivi karibuni.


Latest News
Hashtags:   

SERIKALI

 | 

YAJIPANGA

 | 

KUIPATIA

 | 

CHANJO

 | 

MIFUGO

 | 

NZIMA

 | 

Sources