Wizara ya Afya nchini Tanzania imetoa muongozo kwa wasafiri kufuatia mlipuko wa Homa ya Nyani (MPOX), ili kuzuia kuenea kwa ugonjwa huu ndani na nje ya nchi kwa kuzingatia Kanuni za Afya za Kimataifa za mwaka 2005, ambapo muongozo huo unaanza kutekelezwa mara moja, ili kuchukua hatua madhubuti zinazohusiana na wasafiri wa Kitaifa na Kimataifa.
Thursday 30 October 2025
⁞
