Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Jumatano Februari 26, 2025, ameongoza hafla ya kihistoria ya kuweka jiwe la msingi kwaajili upanuzi wa Msikiti Mkuu wa Ijumaa jijini Tanga, tukio ambalo lilihudhuriwa na viongozi wa dini wakiongozwa na Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania Dkt. Abubakary Zubeiry bin Ally, viongozi wa serikali, waumini na wananchi wengi kutoka sehemu mbalimbali.
Thursday 30 October 2025
⁞
