Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Manispaa ya Tabora imenufaika kwa kiwango kikubwa na utekelezaji wa miradi ya maendeleo chini ya serikali ya awamu ya sita.
Saturday 1 November 2025
⁞
