Thursday 30 October 2025
Home      All news      Contact us      RSS      English
itv - 8 month ago

MAMA SAMIA LEGAL AID YAPIGIWA CHAPUO JUMUIYA YA MADOLA

Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro, akiwa katika mwendelezo wa kikao cha 58 cha Baraza la Haki za Binadamu Geneva  Nchini, Uswisi amekutana na kufanya mazungumzo yaliyohusu utekelezaji  wa Kampeni ya Msaada wa Kisheria Nchini Tanzania Mama Samia Legal Aid na ujumbe wa Jumuiya ya Madola ukiongozwa na Katibu Mkuu Msaidizi wa Jumuiya ya Madola Prof.Luis Franceschi jijini Geneva, Uswisi 


Latest News
Hashtags:   

SAMIA

 | 

LEGAL

 | 

YAPIGIWA

 | 

CHAPUO

 | 

JUMUIYA

 | 

MADOLA

 | 

Sources