Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade), Bi. Latifa Khamis, amesema Maonesho ya biashara ya Dunia ya Expo 2025 Osaka, lengo lake kuu ni  kuwaunganisha wafanyabiashara wa pande zote mbili ili kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi na kibiashara.
				Friday 31 October 2025			
						
		⁞
