Mgombea ubunge kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Jimbo la Nanyumbu, Hamad Hasheem ametangaza kuhamia Chama cha Mapinduzi (CCM), huku akisema amevutiwa na mienendo na utekelezaji wa ajenda za Chama hicho baada ya kuangalia mikutano ya mgombea urais wa chama hicho, Dkt. Samia Suluhu Hassan na kugundua kuwa ni mtekelezaji wa yale anayoahidi.
				Friday 31 October 2025			
						
		⁞
