Friday 31 October 2025
Home      All news      Contact us      RSS      English
itv - 4 month ago

UWEKEZAJI WA KIMKAKATI KULETA MAPINDUZI SEKTA YA MIFUGO.

Wakurugenzi wa uzalishaji wa chanjo za mifugo kutoka nchi 25 za Afrika, wamesema uwekezaji uliofanywa na kiwanda cha Hester Biosciences Africa Limited kilichopo katika Eneo la Viwanda la TAMCO, Kibaha Mkoa wa Pwani,  ni wa kimkakati na una nafasi kubwa ya kuleta mapinduzi katika sekta ya mifugo si tu nchini Tanzania, bali barani Afrika kwa ujumla.


Latest News
Hashtags:   

UWEKEZAJI

 | 

KIMKAKATI

 | 

KULETA

 | 

MAPINDUZI

 | 

SEKTA

 | 

MIFUGO

 | 

Sources