Wakazi wa Wilaya ya Pangani wamempongeza Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa ujenzi wa daraja la Pangani pamoja na utekelezaji wa miradi mingine Wilayani humo ikiwemo miradi ya maji, shule, afya na ujenzi wa josho la mifugo kwa ajili ya jamii ya wafugaji lenye thamani ya shilingi milioni 38.
Thursday 30 October 2025
⁞
