Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametoa wito kwa wananchi kushiriki kikamilifu katika mapambano dhidi ya ukatili na unyanyasaji wa kijinsia, kuwalinda watoto na wanawake ili kulinda kizazi kijacho.
				Friday 31 October 2025			
						
		⁞
 Sources
 Sources 
 
