Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewataka Viongozi wanaosimamia Vyama vya ushirika nchini Tanzania kukuza matumizi ya Teknolojia katika uendeshaji wa Vyama hivyo pamoja na kuongeza ubunifu zaidi ili kupanua wigo wa kuhamasisha wakulima kujiunga zaidi na vyama vya ushirika vilivyopo nchini.
				Friday 31 October 2025			
						
		itv - 6 month ago 
MATUMIZI YA TEKNOLOJIA KWA VYAMA VYA USHIRIKA YALETE TIJA KWA WAKULIMA
⁞
