Friday 31 October 2025
Home      All news      Contact us      RSS      English
itv - 6 month ago

MATUMIZI YA TEKNOLOJIA KWA VYAMA VYA USHIRIKA YALETE TIJA KWA WAKULIMA

Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewataka Viongozi wanaosimamia Vyama vya ushirika nchini Tanzania kukuza matumizi ya Teknolojia katika uendeshaji wa Vyama hivyo pamoja na kuongeza ubunifu zaidi ili kupanua wigo wa kuhamasisha wakulima kujiunga zaidi na vyama vya ushirika vilivyopo nchini.


Latest News
Hashtags:   

MATUMIZI

 | 

TEKNOLOJIA

 | 

VYAMA

 | 

USHIRIKA

 | 

YALETE

 | 

WAKULIMA

 | 

Sources