Friday 31 October 2025
Home      All news      Contact us      RSS      English
itv - 6 month ago

LITEMBO HOSPITALI YAPATIWA GARI NA WATUMISHI

Katika kutekeleza maelekezo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, Waziri wa Afya Mhe. Jenista Mhagama ametoa gari moja la wagonjwa (Ambulance), wataalam wawili wa maabara, daktari mmoja pamoja na muuguzi mmoja ili kupunguza changamoto katika Hospitali ya Litembo.


Latest News
Hashtags:   

LITEMBO

 | 

HOSPITALI

 | 

YAPATIWA

 | 

WATUMISHI

 | 

Sources