Katika kutekeleza maelekezo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, Waziri wa Afya Mhe. Jenista Mhagama ametoa gari moja la wagonjwa (Ambulance), wataalam wawili wa maabara, daktari mmoja pamoja na muuguzi mmoja ili kupunguza changamoto katika Hospitali ya Litembo.
				Friday 31 October 2025			
						
		⁞
