Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora Mhe. Dkt. Haroun Ali Suleiman, amewasihi wananchi wa Kaskazini Unguja Visiwani Zanzibar, kujitokeza kwa wingi kupata msaada wa Kisheria kwenye Mkoa huo itakayodumu kwa siku tisa, huku akimshukuru Rais Dkt. Samia kwa ubunifu na ufadhili wa kampeni hiyo, aliyoitaja kuwa muhimu kwa wananchi wasiokuwa na uwezo wa kiuchumi.
				Friday 31 October 2025			
						
		⁞
 Sources
 Sources 
 
