Friday 31 October 2025
Home      All news      Contact us      RSS      English
itv - 6 month ago

MSAADA WA KISHERIA SULUHU YA MIGOGORO ZANZIBAR

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora Mhe. Dkt. Haroun Ali Suleiman, amewasihi wananchi wa Kaskazini Unguja Visiwani Zanzibar, kujitokeza kwa wingi kupata msaada wa Kisheria kwenye Mkoa huo itakayodumu kwa siku tisa, huku akimshukuru Rais Dkt. Samia kwa ubunifu na ufadhili wa kampeni hiyo, aliyoitaja kuwa muhimu kwa wananchi wasiokuwa na uwezo wa kiuchumi.


Latest News
Hashtags:   

MSAADA

 | 

KISHERIA

 | 

SULUHU

 | 

MIGOGORO

 | 

ZANZIBAR

 | 

Sources