Saturday 1 November 2025
Home      All news      Contact us      RSS      English
itv - 10 month ago

WATANZANIA 80% WATAKUWA WANATUMIA  NISHATI SAFI 2034

#HABARI: Mkurugenzi wa Ushirikiano wa Kimataifa katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Noel Kaganda amesema Tanzania haikuchaguliwa kwa bahati mbaya kuwa mwenyeji wa Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Nishati, isipokuwa imekidhi vigezo ambavyo waandaji wamejiridhisha navyo.


Latest News
Hashtags:   

WATANZANIA

 | 

WATAKUWA

 | 

WANATUMIA 

 | 

NISHATI

 | 

Sources