Wakala wa Nishati Vijijini (REA) unaendelea kutekeleza Mradi wa usambazaji wa mitungi ya gesi ya kilo 6 kwa bei ya ruzuku, ambapo inatarajia kugawa mitungi 13,020 katika Mkoa wa Shinyanga, mradi huo utagharimu jumla ya shilingi milioni 545.538.
Saturday 1 November 2025
⁞
