Rapa Jay-Z amejumuishwa kwenye tuhuma za kumbaka na kumnyanyasa kingono msichana wa miaka 13 kwenye sherehe iliyoandaliwa na Sean “Diddy” Combs mwaka 2000, kulingana na kesi iliyofanyiwa marekebisho na kuwasilishwa katika Mahakama ya Shirikisho siku ya Jumapili.
Saturday 1 November 2025
⁞
