Saturday 1 November 2025
Home      All news      Contact us      RSS      English
itv - 11 month ago

TACTIC KUONGEZA THAMANI YA MAZAO KWA WAKULIMA RUKWA.

Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI), Dkt. Festo Dugange(Mb) amesema ujenzi wa soko kuu la mazao ya nafaka eneo la Kanondo Wilayani Sumbawanga Mkoani Rukwa ni Mkombozi kwa wakulima kwani Soko hilo litaongeza thamani ya mazao na kukuza mzunguko wa fedha mkoani humo.


Latest News
Hashtags:   

TACTIC

 | 

KUONGEZA

 | 

THAMANI

 | 

MAZAO

 | 

WAKULIMA

 | 

RUKWA

 | 

Sources