Mwalimu Subiri Andson (37) wa Shule Sekondari Nguno iliyoko katika Wilaya ya Itilima Mkoani Simiyu, amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya hiyo kujibu tuhuma inayomkabili ya kukutwa akifanya mapenzi na mwanafunzi (17) nyumbani kwake.
Monday 3 November 2025
⁞
