Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo chini ya Mwenyekiti wake Mhe. Husna Sekiboko, imeridhishwa na maendeleo ya Ujenzi wa Uwanja wa Mpira wa Miguu wa Jijini Arusha, utakaotumika kwa mashindano ya AFCON 2027.
Saturday 1 November 2025
⁞
