Mtoto mchanga wa miezi sita aliyefariki dunia, baada ya kudaiwa kulawitiwa na baba yake mzazi aliyejulikana kwa jina la Damas Stephano, mwili wake unatarajiwa kuzikwa leo Septemba 03, 2024 katika makaburi ya Hijra ,mtaa wa Area A, jijini Dodoma.
Saturday 1 November 2025
⁞
