Saturday 1 November 2025
Home      All news      Contact us      RSS      English
itv - 1 years ago

BABA MBARONI KWA KULAWITI KICHANGA.

Mtoto mchanga wa miezi sita aliyefariki dunia, baada ya kudaiwa kulawitiwa na baba yake mzazi aliyejulikana kwa jina la Damas Stephano, mwili wake unatarajiwa kuzikwa leo Septemba 03, 2024 katika makaburi ya Hijra ,mtaa wa Area A, jijini Dodoma.


Latest News
Hashtags:   

MBARONI

 | 

KULAWITI

 | 

KICHANGA

 | 

Sources