Saturday 1 November 2025
Home      All news      Contact us      RSS      English
itv - 1 years ago

WAGANGA WA JADI, TIBA ASILI, ACHANENI NA DHANA POTOFU DKT.MOLLEL

Naibu Waziri wa Afya, Dkt.Godwin Mollel, amewataka wataalamu wa tiba asili nchini, kuachana na matumizi ya viungo vya binadamu na wanyama katika huduma zao, na kwamba dhana potofu zinazohusisha ngozi ya nyati, simba, na mkia wa nyumbu zinapaswa kukemewa kwa nguvu zote.


Latest News
Hashtags:   

WAGANGA

 | 

ASILI

 | 

ACHANENI

 | 

DHANA

 | 

POTOFU

 | 

MOLLEL

 | 

Sources