Naibu Waziri wa Afya, Dkt.Godwin Mollel, amewataka wataalamu wa tiba asili nchini, kuachana na matumizi ya viungo vya binadamu na wanyama katika huduma zao, na kwamba dhana potofu zinazohusisha ngozi ya nyati, simba, na mkia wa nyumbu zinapaswa kukemewa kwa nguvu zote.
Saturday 1 November 2025
⁞
