Saturday 1 November 2025
Home      All news      Contact us      RSS      English
itv - 1 years ago

NARCO YATAKIWA KUWAPA ENEO KIWANDA CHA UNION MEAT

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega, ameilekeza Bodi ya Kampuni ya Ranchi za Taifa (NARCO ) kuwapatia eneo Kiwanda cha Machinjio cha Union Meat, ili walitumie kupokelea na kunenepeshea mifugo ili kiwanda kiwe na uhakika wa kupata mifugo bora kwa ajili ya kuchinja na kuuza ndani na nje ya nchi.


Latest News
Hashtags:   

NARCO

 | 

YATAKIWA

 | 

KUWAPA

 | 

KIWANDA

 | 

UNION

 | 

Sources