Kocha wa Timu ya Taifa ya Soka la Ufukweni, Jaruph Juma, amesema kwa maandilizi waliyofanya anaamini Timu hiyo itafanya vizuri kwenye Mashindano ya mwaka huu ya AFCON soka la Ufukweni, ambayo yamepangwa kufanyika kuanzia Oktoba 19–26, 2024, katika Jiji la kuvutia la Pwani ya Hurghada, Misri.
Saturday 1 November 2025
itv - 1 years ago
TANZANIA IKO TAYARI KWA FAINALI ZA SOKA LA UFUKWENI BSAFCON 2024 MISRI
⁞
