Saturday 1 November 2025
Home      All news      Contact us      RSS      English
itv - 1 years ago

RAIS SAMIA AHITIMISHA ZIARA KATAVI.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema serikali inaendelea na jitihada mbalimbali za kufungua Mkoa wa Katavi kwa kuboresha miundombinu ikiwa ni pamoja na ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami ili kurahisisha huduma za usafiri na usafirishaji.


Latest News
Hashtags:   

SAMIA

 | 

AHITIMISHA

 | 

ZIARA

 | 

KATAVI

 | 

Sources