Wataalam wa Wakala ya Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA), wakiongozwa Mtendaji Mkuu wake Dkt.Stella Bitanyi wametoa elimu kuhusiana na huduma mbalimbali zinazotolewa na TVLA katika Maonesho ya 48 ya Biashara Kimataifa ya Dar Es Salaam (Sabasaba), tangu yalipoanza Juni 28, 2024 na kutarajiwa kuhitimishwa Julai 13, 2024.
Saturday 1 November 2025
⁞
