Jumla ya viwanja 4,150 vimemilikishwa katika mitaa 270 ya mkoa wa Dar es salaam, kupitia programu ya ukwamuaji urasimishaji pamoja na kliniki ya ardhi katika kipindi cha kuanzia Januari hadi Machi 2024.
Monday 3 November 2025
itv - 1 years ago
VIWANJA 4,150 VYAMILIKISHWA KUPITIA PROGRAMU YA UKWAMUAJI URASIMISHAJI
⁞
